Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Sunday, February 15, 2009
watoto na Siasa
Siku za karibuni kumekuwa na ongezeko la watoto wanaohudhuria mikutano ya Kisiasa, wakati idadi ya watoto ikiongezeka idadi ya vijana na watu wazima wanaohudhuria mikutano hiyo inapungua kwa kasi, kunani hapa?
No comments:
Post a Comment