Ndugu wadau, yule Liyumba wa Benki Kuu ya Tanzania aliyekuwa amejichimbia katika chimbo lisilojulikana na kuwaweka roho juu Takukuru, leo kaibukia mahakamani na kurejeshwa Rumande baada ya mahakama ya kumuona kuwa si muaminifu. Kumbe bongo nayo kubwa unaweza ukaa uwani tu watu wakakutafuta wakatangaza hadi kutoa mijihela lakini na usikamatwe
No comments:
Post a Comment