Wa kwanza kushoto ni Mratibu wa kundi la Victoria, Fabian Kasonya akiwa na kiongozi mwenzake, walipokuwa wakizungumza na Waandishi wa Habari.
Kama ulizoe kuona filamu za wasanii maarufu wa Dar es Salaam, sasa Mbeya nao wameaanza, ni Siku ya Wapendanao Februari 14, Kundi la Victoria Art Group litazindua filamu yake ya kwanza ijulikanyo kama Nguvu ya Mapenzi, fika ukumbi wa Dhandho ushuhudia uzinduzi wa filamu hiyo.
No comments:
Post a Comment