Wednesday, February 25, 2009

Ofisi ya Chama cha SAU yawa Grocery

Kuna tetesi kuwa ofisi za Chama cha Sauti ya Umma (SAU) zilizopo Mbalizi wilaya ya Mbeya Vijijini zimegeuzwa kuwa grocery, Tetesi zilizopatikana mitaani zinadai kuwa aliyekuwa mgombea wa chama hicho, Subi Mwakapiki mara baada ya uchaguzi huo ambao uliishia kwa yeye kupata kura zisizozidi wala kufikia kura 500 ndiye mmiliki wa Grocery hiyo. Zipo tetesi zinadai kuwa uongozi wa wilaya wa chama hicho umepanga kumfikisha kwa Pilato mwanamama huyo ambaye alikuwa na ndoto za kuwa mbunge na kuwawakilisha wananchi wa jimbo. kwa ushahidi wa picha fuatilia hapa zaidi

No comments:

Post a Comment