Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Wednesday, February 25, 2009
Ofisi ya Chama cha SAU yawa Grocery
Kuna tetesi kuwa ofisi za Chama cha Sauti ya Umma (SAU) zilizopo Mbalizi wilaya ya Mbeya Vijijini zimegeuzwa kuwa grocery, Tetesi zilizopatikana mitaani zinadai kuwa aliyekuwa mgombea wa chama hicho, Subi Mwakapiki mara baada ya uchaguzi huo ambao uliishia kwa yeye kupata kura zisizozidi wala kufikia kura 500 ndiye mmiliki wa Grocery hiyo.
Zipo tetesi zinadai kuwa uongozi wa wilaya wa chama hicho umepanga kumfikisha kwa Pilato mwanamama huyo ambaye alikuwa na ndoto za kuwa mbunge na kuwawakilisha wananchi wa jimbo. kwa ushahidi wa picha fuatilia hapa zaidi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment