Hadi leo kuna baadhi ya maeneo nchini wanaamini kuwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu J.K Nyerere ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, lakini kwa walio maofisini yote nchini wanauelewa mpana kwamba Serikali iliyopo Madarakani ya awamu ya nne ikiwa chini ya Rais Jakaya Kikwete.
Kabla ya Kikwete Marais waliopita ni pamoja na J.K Nyerere, All Hassan Mwinyi, Benjami Mkapa na sasa Rais Kikwete. Kwa taratibu zilizopo ukiingia katika ofisi nyingi hapa nchini, utakuta kuna picha ya Rais wa awamu ya kwanza na aliyepo madarakani kwa wakati.
No comments:
Post a Comment