Wednesday, February 18, 2009

Mama na Mtoto

Furaha ya Mama ni kumuona mwanae akiwa na afya njema, apate elimu bora na kufurahi na wenzake, lakini wakina mama wengi wa leo hawawapi fursa watoto yao japo hata kunyonya kidogo na wengine huishia kuwatupa majalalani na kwenye mashimo ya vyoo.

No comments:

Post a Comment