Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Wednesday, February 18, 2009
Mama na Mtoto
Furaha ya Mama ni kumuona mwanae akiwa na afya njema, apate elimu bora na kufurahi na wenzake, lakini wakina mama wengi wa leo hawawapi fursa watoto yao japo hata kunyonya kidogo na wengine huishia kuwatupa majalalani na kwenye mashimo ya vyoo.
No comments:
Post a Comment