Saturday, February 21, 2009

Utalii wa ndani

Bongo Camping, moja ya taasisi zinazosaidia kuutangaza utalii wa ndani, Watanzania tunanafasi ya kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini na kuijionea maajabu ya Mwenyezi Mungu badala ya kuwaachia wageni. Tembelea Mbeya uone inavyovutia

No comments:

Post a Comment