Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Saturday, February 21, 2009
Utalii wa ndani
Bongo Camping, moja ya taasisi zinazosaidia kuutangaza utalii wa ndani, Watanzania tunanafasi ya kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini na kuijionea maajabu ya Mwenyezi Mungu badala ya kuwaachia wageni. Tembelea Mbeya uone inavyovutia
No comments:
Post a Comment