Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, February 13, 2009
Kyela Mitaani
Ukikatiza katika Mitaa ya wilaya ya Kyela, licha ya kushuhudia wingi wa baiskeli lakini pia utakutana na tumbaku inayouzwa mitaani ambayo hupimwa kwa kipimo maarufu kama ndonya
No comments:
Post a Comment