Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Wednesday, February 11, 2009
Usafiri wa baiskeli Kyela
Kama umezoea ukifika sehemu na kukutana na taksi zikiwa zimejipanga kusubiri abiria, hali ni tofauti ukifika wilayani Kyela, usafiri mkubwa wa huko ni baiskeli na unatumika na watu wote wanawake kwa wanaume.
No comments:
Post a Comment