Friday, July 31, 2009

Vituko vya wakubwa

Kweli hakuna ambaye hapendi pale mahala, Hata mzee Ruksa aliwahi kusema kuwa '...............tena limekaa pale ambapo sote twapapenda.........' akimaanisha ugonjwa wa ukimwi. Hebu mtizame Mr. Obama hapa kumbe naye...............sema mwenyewe.
Muangalie na hapa tena, lahaula mzee kachanganyikiwa

Wasalaam

Ndugu wadau, kwa kipindi ch takribani miezi minne sikuweza kuweka vitu vipya kutokana na kukabilina na majukumu ya Kitaifa, lakini kuanzia sasa narudi tena naomba ushirikiano katika kutoa michango mbalimbali itakayotujenga