Abiria wanashauriwa kutelemka gari linapokuwa katika kituo cha mafuta, lakini abiria wamekuwa wakaidi huku Madereva na Makondakta nao wakishindwa kuwashauri abiria watelemke, hivi kukizuka moto na kusababisha vifo vya abiria, nani wa kulaumiwa? abira, kondakta, dereva au kama kawaida Serikali?
No comments:
Post a Comment