Wanasayansi wakiwa wamezuru ziwa hilo kwa ajili ya kufanya tafiti mbalimbali za kisayansi.
*****
Lake Masoko, moja kati ya maziwa yenye vivutio vingi vya utalii na historia za ajabu kabisa. Ziwa hili linadaiwa kuwa lina vitu vingi vya thamani ambavyo vilitupwa na wajerumani walipokuwa wanawakimbia waingereza wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.
Lake Masoko ni perfect place kwa kuogelea, kuweka kambi, kufanya picnic.Karibu Mbeya na hususani wilayani Rungwe ili uweze kuifahamu vilivyo historia ya ziwa hilo ambalo ni la pekee. Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, February 3, 2009
Utalii- Lake Masoko
Wanasayansi wakiwa wamezuru ziwa hilo kwa ajili ya kufanya tafiti mbalimbali za kisayansi.
*****
Lake Masoko, moja kati ya maziwa yenye vivutio vingi vya utalii na historia za ajabu kabisa. Ziwa hili linadaiwa kuwa lina vitu vingi vya thamani ambavyo vilitupwa na wajerumani walipokuwa wanawakimbia waingereza wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia.
Lake Masoko ni perfect place kwa kuogelea, kuweka kambi, kufanya picnic.Karibu Mbeya na hususani wilayani Rungwe ili uweze kuifahamu vilivyo historia ya ziwa hilo ambalo ni la pekee.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment