Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, February 17, 2009
Maisha ya vijana
ni harakati za vijana katika kitafuta kama kijana akiwa katika moja ya mitaa ya Mbeya akitafakari na jinsi ya kukabiliana na Migambo wa Jiji, huku akilazimika kuosha gari lolote linalotekea ili aweze kupata ujira.
No comments:
Post a Comment