Tuesday, February 17, 2009

Maisha ya vijana

ni harakati za vijana katika kitafuta kama kijana akiwa katika moja ya mitaa ya Mbeya akitafakari na jinsi ya kukabiliana na Migambo wa Jiji, huku akilazimika kuosha gari lolote linalotekea ili aweze kupata ujira.

No comments:

Post a Comment