Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Thursday, February 26, 2009
Watoto na Biashara
Hali ngumu ya maisha inasababisha watoto washirikishwe katika biashara ndogo ndogo, badala ya kutumia muda wao kwa masomo na michezo
No comments:
Post a Comment