Tuesday, February 10, 2009

Breaking news

Zipo tetesi kuwa watuhumiwa wawili wanaodaiwa kumuua albino Henry Mwakajira aliyekuwa mwanafunzi wa kidato cha pili wameachiwa huru na mahakama ya wilaya ya Rungwe,siku ya kwanza tu ya kufikishwa mahakamani kwa agizo la Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini (DDP), nyeti kamili fuatilia zaidi hapa kesho.

No comments:

Post a Comment