Thursday, February 19, 2009

barabara zetu

Licha ya Jiji la Mbeya kubarikiwa kuwa na barabara nyingi za lami, barabara hizo zimegeuka kuwa kero kwa watumiaji wake kutokana na kujaa mashimo na kutofanyiwa ukarabati, kinachotia aibu zaidi ni barabara zinazoingia katika Kituo kikuu cha Mabasi Mbeya, ambapo magari hulazimika kuhama kutoka upande mmoja hadi mwingine na kufanya kuwe na hatari ya kutokea kwa ajali.

No comments:

Post a Comment