Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Monday, February 16, 2009
Mizaha na Magari
Bila kujali usalama wake, abiria waliokuwa wanasafiri kati ya Kyela kwenda mpaka wa Tanzania na Malawi eneo la Kasumulu akiwa amefungua mlango kuruhusu hewa kuingia ndani bila kujali usalama wa Maisha yake na abiria wengine
No comments:
Post a Comment