Tuesday, February 10, 2009

Wanafunzi na Matokeo

Wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na baadhi ya wazazi wakiwa nje ya Internet ya Posta wakisubiri kutizama matokeo yao. Baadhiyao waliofeli walijikuta wakiangua kilio hadharani

No comments:

Post a Comment