Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, February 10, 2009
Wanafunzi na Matokeo
Wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na baadhi ya wazazi wakiwa nje ya Internet ya Posta wakisubiri kutizama matokeo yao. Baadhiyao waliofeli walijikuta wakiangua kilio hadharani
No comments:
Post a Comment