Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Monday, February 16, 2009
Unalijua hili
Imebainika kuwa mabinti wengi wanaofanya kazi kwa akina mama wanaopika vyakula katika migahawa midogo ya mitaani maarufu kama mama ntilie, wanatumika pia kama vivutio kwa wateja hasa vijana, wakati wa mama wengine wamewageuza mabinti hao mitaji kwa kuwachagulia hata wanaume wa kwenda kulala nao, hivi na ukimiw huu nini matumaini ya kizazi kijacho. Watoto wengi wanaotumika ni wale wa kati ya miaka 14-20.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment