Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, February 27, 2009
Tunatafakari
Mbunge wa Kigoma, Zitto Kabwe akiwa na Mbunge wa Mbarali Estherina Kilasi wakitafakari jambo, wakati wa ziara ya kamati ya Bunge ya hesabu za Serikali za mitaa ilipofanya ziara wilayani Mbozi.
No comments:
Post a Comment