Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Monday, October 5, 2009
Kombe la Duniani la Vijana wazururaji laja 2010
Saturday, October 3, 2009
Kwa taarifa yako
Friday, September 25, 2009
Ludewa
Tuesday, August 11, 2009
Mambo ya Send ya Off
Saturday, August 8, 2009
Kwa nini wanaume tu wapenda
Friday, August 7, 2009
Ludewa bwana
aaaaa Ludewa
Friday, July 31, 2009
Vituko vya wakubwa
Wasalaam
Friday, April 17, 2009
Big Psalm abatizwa, ilikuwa Pasaka
Wednesday, March 25, 2009
hii ni Tanzania bwana
Kwa taarifa yako hii ni Tanzania bwana, wakati wengine wakizima moto kwa kutumia kikombe cha maji, huku nyumba zao zikiwa hazina bima, kwa alijinyima kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kusimamisha nyumba hiyo iliyoungua kwa siku moja!
Wengine wanaweza kubadilisha majina ya mitaa kama inavyoonekana hapa chini mtaa maarufu wa Kisutu Jijini Dar es Salaamumebadilishwa jina na kuwa 'Pramukh Swami' inachanganya lakini ndio Tanzania bwana
Tuesday, March 24, 2009
unamfahamu kiongozi anayetufaa
Tukumbuke kidogo hili
kwa mataifa ya wenzetu kiongozi wa Kitaifa kushambuliwa si jambo dogo, lakini kwa hili la kupigwa kwa Mzee Ruksa linapaswa kuangaliwa vizuri kidogo, ni kweli tunafahamu kuwa ugonjwa wa ukimwi upo na mtu anaweza kuupata ikiwa atafanya ngono isiyo salama na kuwa na wapenzi wengi kwelikweli.
Ili kuzuia maambukizi mapya wataalami wakabuni kondomu ambayo inasaidia kupunguza maambukizi mapya ya vvu kwa maana isipotumiwa kwa usahihi bado unaweza kuupata ukimwi hata kama umevaa kondomu.
Hoja yangu, hivi misimamo ya dini na mtu mmoja mmoja inapaswa kuchukuliwa kama ndio msimamo wa Watanzania, ambaye hataki kutumia kondomu ni lazima aonyeshe msimamo wake kwa vurugu?
Kijana Said akipokea kichapo baada ya kumchapa kibao mzee Ruksa.
Monday, March 16, 2009
Utaratibu wa kuficha ujumbe kwa bakora na vibao
Saturday, March 14, 2009
wavuvi haramu
Baadhi ya Raia wa China na Indonesia ambao jana walipandishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kuendesha shughuli za uvuvi nchini bila ya kuwa na kibali kinyume na sheria za nchi na za Kimataifa. wote walikana mashitaka yao na kurudishwa mahabusu.
kwa Mujibu wa sheria, watuhumiwa hao wakikutwa na hatia watatakiwa kulipa faini ya shilingi bilioni 20, au meli waliyokuwa wanaitumia kufanya uvuvi haramu itataifishwa na kuwa mali ya Tanzania.
Namna ya Kukomesha wezi ktk ATM
Friday, March 13, 2009
Watalii waionyesha kazi Simba
Matajiri wa Dunia
1. William Gates III (53) anaongoza kwa utajiri duniani akiwa na utajiri unaofikia thamani ya dola za Kimarekani bilioni 40, kibopa huyo ni baba wa watoto watatu, ambapo utajiri wake unatokana na microsoft
Kibopa anayemfuatia Bill Gates ni Warren Buffett (78) ambaye ana utajiri unaofikia dola za kimarekani bilioni 37, akiwa ni baba wa watoto watatu ambaye awali alikuwa na mke ambaye alifariki na akaoa mke mwingine, chanzo cha fedha kilichomuwezesha kuwa bilionea ni uwekezaji ndani ya Marekani. Wapo wengi hao ni wawili wa juuThursday, March 12, 2009
Kwa kutuma msg huku hatari inakuja
Wednesday, March 11, 2009
Heshimaaaaa toa
Tuesday, March 10, 2009
Hongera
Meli hii kuwa mali ya Tanzania?
Askari akilinda meli iliyokamatwa katika bahari ya hindi ikifanya shughuli za uvuvi haramu, hata hivyo meli hiyo haijulikani ni ya nchi gani huku mabaria karibu 30 waliokutwa ndani ya meli hiyo wakishindwa kuhojiwa kwa kile kilichodaiwa kuwa wanazungumza lugha ya ajabu na isiyo eleweka ni ya Taifa gani. ila jana kwenye TV niliwaona kama wakionyesha alama ya dole kwa wapiga picha wa tv.
Habari njema ni kuwa meli hiyo inaweza kuwa mali ya Tanzania ikiwa wamiliki wa meli hiyo watashindwa kulipa faini ya bilioni 20 ikiwa ni kosa la kuingia katika eneo la Tanzania kufanya shughuli za uvuvi haramu bila ya kuwa na vibali.
Yanga Bwana weee acha
Mshambuliaji Ben Mwalala wa Yanga akimtoka beki wa Vancover Whitecaps ya Canada, Trafford mason katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika uwanja wa Taifa Dar es salaam jana. Katika mchezo huo yanga iliibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0, magoli hayo yaliwekwa kimiani na Jerry Tegete aliyepachika mawili na Mkenya Mike Baraza aliyemalizia la tatu.
Kweli Yesu anaweza
Muimbaji wa nyimbo za Injili, Ambele Chapanyota enzi hizo akiwa mmoja wa wakabaji na wezi katika eneo la nonde Jijini.
Monday, March 9, 2009
Ona tofauti hii












