Ni takribani wiki mbili tangu Mchungaji Luckson Mwanjale aingie bungeni kwa kuibuka na kura zaidi ya 32,000 kati ya wapiga kura zaidi ya 120,000. Pichani, Mwanjale akiwa katika harakati za kuvuta gari la Matangazo lililokuwa limekwama wakati wa kampeni zake.
Suala la barabara ni moja ya kero kubwa za Mbeya vijijini, ni takriban miezi 20, atarudi kuomba kura, Mwanjale unakumbuka ahadi zako na adha ulioonja wakati wa harakati zako za kwenda Bungeni?
No comments:
Post a Comment