Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Monday, February 16, 2009
Prison wamechoka
Lile jinamizi la kupoteza mechi, limeendelea kuikumba timu ya Tanzania Prison baada ya kuondolewa kwa aibu katika michuano ya kimataifa kwa kuchapwa goli 4 na Walibya na hivyo kufanya jumla ya magoli kuwa 6-0, inawezekana hawa ni Wacomoro waishio Tanzania. Wadau nini kifanyike ili kuikoa timu hii ambayo sasa kati ya mechi tano ilizocheza zikiwemo mbili za Kimataifa imechapwa magoli 13 na yenyewe kutikisa nyavu za wapinzani mara tatu tu"
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment