Monday, February 16, 2009

Prison wamechoka

Lile jinamizi la kupoteza mechi, limeendelea kuikumba timu ya Tanzania Prison baada ya kuondolewa kwa aibu katika michuano ya kimataifa kwa kuchapwa goli 4 na Walibya na hivyo kufanya jumla ya magoli kuwa 6-0, inawezekana hawa ni Wacomoro waishio Tanzania. Wadau nini kifanyike ili kuikoa timu hii ambayo sasa kati ya mechi tano ilizocheza zikiwemo mbili za Kimataifa imechapwa magoli 13 na yenyewe kutikisa nyavu za wapinzani mara tatu tu"

No comments:

Post a Comment