Monday, February 16, 2009

Awa Baba akiwa na miaka 13

(Pichani baba na mama wakiwa na mtoto wao).
Ingekuwa ni hapa kwetu Tanzania sijui ingekuwaje, Lakini nchini Uingereza, watoto wawili, Alfie Patten na Chantelle Steadman (15) wamepata mtoto wa kwanza wote wakiwa ni watoto, Hii ni huko Uingereza kumbe ngono za mapema si bongo tu hata kwa wenzetu

No comments:

Post a Comment