Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Saturday, February 14, 2009
Mchezo wa Bao
Mchezo wa bao ni maarufu kwa Mikoa ya pwani, huku wachezaji bao pembeni wakiwa na Kahawa, lakini wilayani Kyela mchezo huo huchezwa huku ukihanikizwa na porojo za hapa na pale
No comments:
Post a Comment