
Wakati kwetu siku hii ya wapendao huazimishwa kwa vijana kufanya kufuru ya ngono, unywaji wa pombe kupita kiasi, kutoka na kujimwaga mitaani na nguo za rangi nyekundu, wenzetu ni tofauti kama anavyoonekana President Obama na Mkewe, wao huonyesha mapenzi nyakati zote baina yao. Hivi kwanini kwetu hadi ifike Februari 14, ndipo eti umuonyeshe mwenzi wako kwamba unampenda, tubadilike
No comments:
Post a Comment