
Unaifahamu noti Nyekundu ya shilingi 100, ambayo ilitumika miaka ya 70.Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kyela, Japhet Mwakasumi anahadith tofauti kuhusu ugumu wa maisha yeye anasema unasababishwa na mabadiliko ya tabia na utamaduni na wala Serikali haihusiki kabisa na hilo.
No comments:
Post a Comment