Monday, March 16, 2009

Utaratibu wa kuficha ujumbe kwa bakora na vibao

Hii tabia hakika ni mbaya na wala haipendezi kabisa, dhana ya kuamini ujumbe hauwezi kufika kwa jamii bila kutumia viboko au kuchapa kiongozi kibaya ni ya hovyo na haifai kuigwa.
Tutafute namna bora ya kufanya hivyo, kueleza kero zetu na jinsi ya kuzipatia ufumbuzi na si mbinu mpya iliyobuniwa na aliyekuwa DC wa Bukoba, ndugu Mnali na sasa naona inaanza kupata waumini kwa kasi ya aina yake.

1 comment: