Saturday, March 14, 2009

wavuvi haramu

Baadhi ya Raia wa China na Indonesia ambao jana walipandishwa kizimbani katika mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kuendesha shughuli za uvuvi nchini bila ya kuwa na kibali kinyume na sheria za nchi na za Kimataifa. wote walikana mashitaka yao na kurudishwa mahabusu.

kwa Mujibu wa sheria, watuhumiwa hao wakikutwa na hatia watatakiwa kulipa faini ya shilingi bilioni 20, au meli waliyokuwa wanaitumia kufanya uvuvi haramu itataifishwa na kuwa mali ya Tanzania.

No comments:

Post a Comment