Kwa taarifa yako hii ni Tanzania bwana, wakati wengine wakizima moto kwa kutumia kikombe cha maji, huku nyumba zao zikiwa hazina bima, kwa alijinyima kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kusimamisha nyumba hiyo iliyoungua kwa siku moja!
Wengine wanaweza kubadilisha majina ya mitaa kama inavyoonekana hapa chini mtaa maarufu wa Kisutu Jijini Dar es Salaamumebadilishwa jina na kuwa 'Pramukh Swami' inachanganya lakini ndio Tanzania bwana
Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Wednesday, March 25, 2009
hii ni Tanzania bwana
Kwa taarifa yako hii ni Tanzania bwana, wakati wengine wakizima moto kwa kutumia kikombe cha maji, huku nyumba zao zikiwa hazina bima, kwa alijinyima kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kusimamisha nyumba hiyo iliyoungua kwa siku moja!
Wengine wanaweza kubadilisha majina ya mitaa kama inavyoonekana hapa chini mtaa maarufu wa Kisutu Jijini Dar es Salaamumebadilishwa jina na kuwa 'Pramukh Swami' inachanganya lakini ndio Tanzania bwana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment