Wednesday, March 25, 2009

hii ni Tanzania bwana

Kwa taarifa yako hii ni Tanzania bwana, wakati wengine wakizima moto kwa kutumia kikombe cha maji, huku nyumba zao zikiwa hazina bima, kwa alijinyima kwa miaka kadhaa na kufanikiwa kusimamisha nyumba hiyo iliyoungua kwa siku moja! Wengine wanaweza kubadilisha majina ya mitaa kama inavyoonekana hapa chini mtaa maarufu wa Kisutu Jijini Dar es Salaamumebadilishwa jina na kuwa 'Pramukh Swami' inachanganya lakini ndio Tanzania bwana

No comments:

Post a Comment