Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, March 13, 2009
Watalii waionyesha kazi Simba
Kama ulidhani walikujakutalii nchini, umekosea timu ya Van couver kutoka Canada jana walionyesha kazi wekundu wa Msimbazi kwa kuwachapa magoli 2-1 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar, kumbuka Yanga waliwachapa Wacanada hao goli 3-0.
No comments:
Post a Comment