Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Sunday, March 1, 2009
wape nafasi ya masomo
Wape nafasi watoto wa Kike wasome, kazi kama hizi zinawafanya washindwe kukua vizuri kiakili na kimwili na hivyo kudunisha uwezo wao wa kutenda na kufikiri
No comments:
Post a Comment