Friday, March 6, 2009

Burudani

Ni burudani ya muziki, tu binti tukionyesha ufundi wa kukata viuno mbele ya mamia ya wakazi wa Jiji la Mbeya waliojitokeza kushuhudia uzinduzi wa label mpya ya bia ya Castle
Utamu wa burudani ulipozidi, almanusra wasahau kudhibiti nguo zao, ambazo zilikuwa na dalili ya kuanza kuwashuka mwilini, burudani bwana inautamu wake

No comments:

Post a Comment