Tuesday, March 10, 2009

Yanga Bwana weee acha

Mshambuliaji Ben Mwalala wa Yanga akimtoka beki wa Vancover Whitecaps ya Canada, Trafford mason katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika uwanja wa Taifa Dar es salaam jana. Katika mchezo huo yanga iliibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0, magoli hayo yaliwekwa kimiani na Jerry Tegete aliyepachika mawili na Mkenya Mike Baraza aliyemalizia la tatu.

No comments:

Post a Comment