Mshambuliaji Ben Mwalala wa Yanga akimtoka beki wa Vancover Whitecaps ya Canada, Trafford mason katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika uwanja wa Taifa Dar es salaam jana. Katika mchezo huo yanga iliibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0, magoli hayo yaliwekwa kimiani na Jerry Tegete aliyepachika mawili na Mkenya Mike Baraza aliyemalizia la tatu.
Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Tuesday, March 10, 2009
Yanga Bwana weee acha
Mshambuliaji Ben Mwalala wa Yanga akimtoka beki wa Vancover Whitecaps ya Canada, Trafford mason katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika uwanja wa Taifa Dar es salaam jana. Katika mchezo huo yanga iliibuka na ushindi mnono wa magoli 3-0, magoli hayo yaliwekwa kimiani na Jerry Tegete aliyepachika mawili na Mkenya Mike Baraza aliyemalizia la tatu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment