

Hao ni wenzetu wakati sie tunabishana juu ya ununuzi wa mitambo ya Dowarns, EPA na wale sijui eti walitumia vubaya ofisi zao na kulisababishia taifa hasara kubwa, wenzetu wanasonga tu, sie twakalia siasa
Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
HEY
ReplyDelete