Friday, March 13, 2009

Matajiri wa Dunia

1. William Gates III (53) anaongoza kwa utajiri duniani akiwa na utajiri unaofikia thamani ya dola za Kimarekani bilioni 40, kibopa huyo ni baba wa watoto watatu, ambapo utajiri wake unatokana na microsoft
Kibopa anayemfuatia Bill Gates ni Warren Buffett (78) ambaye ana utajiri unaofikia dola za kimarekani bilioni 37, akiwa ni baba wa watoto watatu ambaye awali alikuwa na mke ambaye alifariki na akaoa mke mwingine, chanzo cha fedha kilichomuwezesha kuwa bilionea ni uwekezaji ndani ya Marekani. Wapo wengi hao ni wawili wa juu
Hao ni wenzetu wakati sie tunabishana juu ya ununuzi wa mitambo ya Dowarns, EPA na wale sijui eti walitumia vubaya ofisi zao na kulisababishia taifa hasara kubwa, wenzetu wanasonga tu, sie twakalia siasa

1 comment: