Wednesday, March 4, 2009

Breaking news:mvua yaleta madhara Rungwe

Mvua kubwa iliyonyesha katika katika eneo la Kibumbe Kiwira wilayani Rungwe imeangusha nyumba tisa, nguzo za umeme, miti na migomba, lakini hadi sasa hakuna taarifa ya kuwepo majeruhi wala vifo kwa wanaoishi katika nyumba hizo.

No comments:

Post a Comment