Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Wednesday, March 4, 2009
Breaking news:mvua yaleta madhara Rungwe
Mvua kubwa iliyonyesha katika katika eneo la Kibumbe Kiwira wilayani Rungwe imeangusha nyumba tisa, nguzo za umeme, miti na migomba, lakini hadi sasa hakuna taarifa ya kuwepo majeruhi wala vifo kwa wanaoishi katika nyumba hizo.
No comments:
Post a Comment