Wednesday, March 4, 2009

Tuleteeni Matrekta Jamani

Kiukweli Matrekta yanahitajika sana hasa katika maeneo ya vijijini ili wananchi waondokana na kilimo cha kutumia zana zaifu na ambazo hazileti tija, japo kwa kutumia wanyama kazi kunasaidia kuboresha kilimo lakini bado mkulima inabidi asaidiwe ili aweze kufikisha mazao yeye mwenyewe sokoni badala ya kumtumia mtu wa kati (Middle man) ambaye ndiye mfaidika mkuu kuliko mvuja jasho.
Ili watoto kama hawa wapate elimu bora na maisha safi wakulima wanahitaji kusaidia

No comments:

Post a Comment