
Tofauti ya tamaduni, ukitembelea visiwa vya Zanzibar ni kawaida kabisa kukutana na wanawake waliojitanda kanga na baibui mwili huku wengine wakiacha macho tu, lakini kwa kuwa visiwa hivyo vimejaliwa kuwa na fukwe nzuri, pia si ajabu kukutana na wanawake wa kizungu wakiwa wamevalia bikini na kanguo kadogo kwa juu kanaitwa sidiria. source Feedblitz
No comments:
Post a Comment