Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Saturday, October 3, 2009
Kwa taarifa yako
Kwa tulio wengi lugha ya Kiingereza ni Tatizo, na tukifike kwenye mitumba tunababe nguo tu bila kuzingatia maana ya maneno yaliyomo kwenye fulana tunazovaa hebu soma maandishi katika fulana ya kijana na utakari ungekuwa wewe
unaweza usiamini lakini hii ndio Tanzania bwana na ndoto ya maisha bora kwa kila Mtanzania (source jamii forum)
No comments:
Post a Comment