Tuesday, August 11, 2009

Mambo ya Send ya Off

Ni mambo ya send offfice, kushoto ni Bibi Harusi aliyekuwa anaagwa kwa ajili ya kufunga ndoa na Mwandishi wa Habari wa Star Tv na RFA, Fred Bakalemwa, kulia ni Mpambe wa Bi Harusi, Brandy Nelson ambaye ni mwandishi wa gazeti la Mwananchi.
Mchungaji akiongoza misa wakati wa mchakato wa kumuaga bi harusi
Hii ni kudhihirisha furaha ya wazazi wa bi harusi ambao walijikuta wakiselebuka na kukumbuka enzi zao.
Bwana Harusi akitasabasamu huku akiwa na mpambe wake, Danny Tweve
Ndoa bwana, hapa bwana na bi harusi wakifanyiana mzaha wakati wa kupata mlo

No comments:

Post a Comment