Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, July 31, 2009
Vituko vya wakubwa
Kweli hakuna ambaye hapendi pale mahala, Hata mzee Ruksa aliwahi kusema kuwa '...............tena limekaa pale ambapo sote twapapenda.........' akimaanisha ugonjwa wa ukimwi. Hebu mtizame Mr. Obama hapa kumbe naye...............sema mwenyewe.
Muangalie na hapa tena, lahaula mzee kachanganyikiwa
No comments:
Post a Comment