Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Friday, July 31, 2009
Wasalaam
Ndugu wadau, kwa kipindi ch takribani miezi minne sikuweza kuweka vitu vipya kutokana na kukabilina na majukumu ya Kitaifa, lakini kuanzia sasa narudi tena naomba ushirikiano katika kutoa michango mbalimbali itakayotujenga
No comments:
Post a Comment