Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Thursday, November 28, 2013
Watoto wakisakata kabumbu huku wakiwa pekupeku na mpira wa makaratasi maarufu kama kinyenga, vipaji vingi vya watoto vimekuwa vikipotelea mtaani kutokana na kukosekana kwa mfumo bora wa kuendeleza vipaji vya watoto.
No comments:
Post a Comment