Tuesday, November 26, 2013

Dk. Mwakyembe kufungua maonyesho ya kimataifa ya biashara
 
Waziri wa uchukuzi, Dk. harrison Mwakyembo leo anatarajia kuzindua maonyesho ya kimataifa ya biashara yatakayofanyika kwa wiki moja katika viwanja vya ukumbi wa mikutano wa mkapa uliopo Jijini Mbeya.
 
Maonyesho hayo yanatarajia kushirikisha makampuni kutoka nje ya nchini yakiwemo kutoka nchini Kenya na makapuni ya ndani ya nchi ambapo hadi kufikia jana maandalizi yalikuwa yamekamilika kwa zaidi ya asilimia 90 kwa washiriki kupanga bidhaa zao.

No comments:

Post a Comment