Eti Mwanafunzi wa chuo cha Ualimu uyole, aliyetajwa kwa jina moja la Joseph anadaiwa kukutwa akiwa amejinyonga katika mto nzovwe uliopo Jijini Mbeya.marehemu alikuwa anachukua degree mwaka wa kwanza, sababu ya kujinyonga haijajulikana, mwili wa marehemu upo rufaa
No comments:
Post a Comment