Tuesday, November 26, 2013

     Mandhari ya maeneo ya mtera, unaposafiri kutoka Dodoma kuelekea Mkoani Iringa au Mbeya, ipo haja ya kutunza mazingira ili kuendelea kuwa na maeneo ya kuvutia nchini.

Unaposafiri na basi ya Dodoma Mbeya kupitia Mtera abiria kujazana kupita kiasi huku wengine wakiwa wamebeba kuku ni jambo la kawaida kabisa, ipo haja kwa wataalamu wa afya kueleza athari za watu kujazana kupita kiasi katika vyombo vya usafiri huku wakiwa wamebeba mifugo

No comments:

Post a Comment