Tuesday, November 26, 2013

Wakinamama wafanyabiashara ndogo wakiwaonyesha bidhaa abiria (hawapo pichani) waliokuwa wakisafiri kati ya Dodoma, Mtera, Iringa na Mbeya, licha ya uchumi mdogo biashara ndogo zimekuwa zikiwawezesha wanawake kumudu kuhudumia familia na kusomesha watoto wao kwa mafanikio.

No comments:

Post a Comment