Wednesday, December 4, 2013

Hatari kwa afya

Mtoto akichota maji machafu katika dimbwi la Maji, ni muhimu kwa wazazi kuwa makini kwa kuwaangalia watoto michezo wanayocheza na vitu wamavyochezea ili kuhakikisha wanakuwa na afya nje na hawapati magonjwa ya kuambukiza ambauo ni hatari kwa afya zao.

No comments:

Post a Comment