Kupitia blog hii utapata nafasi ya kuyajua mambo yanayojiri kila siku katika Mkoa wa Mbeya zikiwemo, habari mbalimbali zinazohusu jamii, matukio, na tetesi mbalimbali. Pia kupitia blog hii tutajadili masuala mbalimbali ya maendeleo yanayohusu Mkoa wa Mbeya.
Saturday, January 24, 2009
CUF Wakijinadi
Mgombea wa Chama Cha Wananchi (CUF), Daud Mponzi akijinadi wakati wa kampeni za uchaguzi wa jimbo la Mbeya vijijini zilizofikia tamati leo.
CUF wamekwisha!
ReplyDelete