
Nilibahatika kuzunguka katika jimbo la Mbeya Vijijini wakati wa kampeni za uchaguzi, swali nilijiuliza hivi hawa wanasiasa wanapoombakura na kupotea kwa miaka mitano, wanatahamini maisha ya wananchi wa kawaida.
Mbali ya matatizo ya umeme, maji na barabara, yapo maeneo watoto kwa watu wazima wanavaa nguo ambazo mijini wengine mnapigia deki au kuchoma moto kwa uchakavu mdogo tu.
No comments:
Post a Comment